Dirisha la usajili wa majira ya kiangazi linaendelea kuvuta hisia za mashabiki duniani huku vilabu vikubwa barani Ulaya vikisaka nyota wa kuimarisha vikosi vyao kabla ya msimu mpya kuanza. Tetesi za leo zinaonyesha ushindani mkubwa wa wachezaji wenye majina makubwa pamoja na vipaji vinavyochipukia.
Liverpool wanatajwa kuongeza kasi ya mazungumzo ya kumuwania mshambuliaji wa RB Leipzig,..... download Xtra 90 App



