Chama aweka rekodi Ligi Kuu 2025/26

Joel JJ By Joel JJ β€’ 15th May 2026


Chama aweka rekodi Ligi Kuu 2025/26

Kiungo mshambuliaji wa Simba Clatous Chama amekuwa mchezaji wa kwanza kushinda tuzo nne mfululizo za nyota wa mchezo ligi kuu ya NBC msimu huu.

Chama amechukua tuzo za nyota wa mchezo katika mechi dhidi ya Yanga, JKT Tanzania, Tanzania Prisons na Mashujaa Fc.

Katika mechi hizo Chama amefunga mabao matano na kutoa pasi mbili za mabao.

Mpaka sasa Chama mefunga mabao manane huku akitoa pasi nne za mabao.

Hii ni rekodi msimu huu kwa Chama kufikia mafanikio hayo.


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’