Local,Normal News,Simba

Chama aweka rekodi Ligi Kuu 2025/26

Joel JJ By Joel JJ
β€’
15 May 2026
Chama aweka rekodi Ligi Kuu 2025/26

Kiungo mshambuliaji wa Simba Clatous Chama amekuwa mchezaji wa kwanza kushinda tuzo nne mfululizo za nyota wa mchezo ligi kuu ya NBC msimu huu.

Chama amechukua tuzo za nyota wa mchezo katika mechi dhidi ya Yanga, JKT Tanzania, Tanzania Prisons na Mashujaa Fc.

Katika mechi hizo Chama amefunga mabao matano na kutoa pasi mbili za mabao.

Mpaka sasa Chama mefunga mabao manane huku akitoa pasi nne za mabao.

Hii ni rekodi msimu huu kwa Chama kufikia mafanikio hayo.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
7h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
11h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
12h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
14h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
16h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
17h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
17h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
19h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
23h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’