Kocha Jose Mourinho anatajwa kuwa hatua za mwisho za kurejea kuinoa Real Madrid ambapo kulingana na Mwanahabari maarufu Fabrizio Romano, tayari amekubaliana na masharti yote ya mkataba wake mpya.
Fabrizio amebainisha kuwa mazungumzo kati ya Mourinho na rais wa Madrid, Florentino Pérez, yamekamilika kwa kiwango kikubwa huku kilichobaki kikiwa ni taratibu za mwisho kabla ya tangazo..... download Xtra 90 App



