Coastal Union yatangulia nusu fainali kombe la CRDB

Joel JJ By Joel JJ β€’ 16th May 2026


Coastal Union yatangulia nusu fainali kombe la CRDB

Coastal Union imetinga nusu fainali ya kombe la CRDB baada ya ushindi wa mikwaju ya penati 4-2 dhidi ya Singida BS kwenye mchezo wa robo fainali uliopigwa uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga.

Dakika 90 za mchezo huo zilimalizika kwa matokeo ya suluhu ya bila kufungana hatua iliyopelekea mshindi kuamuliwa na mikwaju ya penati.

Singida BS watajilaumu wenyewe kwa kukosa ushindi ndani ya dakika 90 kwani katika dakika za lala salama walipata mkwaju wa penati ambao Ibrahim Imoro alikosa.

Coastal Union sasa wanasubiri mshindi wa mchezo mwingine wa robo fainali kati ya Simba dhidi ya TRA United kuelekea hatua ya nusu fainali.

Β 


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’