Klabu ya Chelsea FC inaripotiwa kukamilisha makubaliano ya kumteua Xabi Alonso kuwa kocha mkuu mpya, katika hatua inayotajwa kuwa sehemu ya mabadiliko makubwa ya kiufundi ndani ya klabu hiyo ya Ligi Kuu England.
Kwa mujibu wa taarifa, uongozi wa Chelsea umemchagua Alonso kuongoza kikosi hicho kuelekea msimu ujao baada ya tathmini ya matokeo yasiyoridhisha katika kampeni za hivi..... download Xtra 90 App



