Michael Olise atwaa tuzo ya mchezaji bora Bundesliga 2025/26

Joel JJ By Joel JJ • 17th May 2026


Michael Olise atwaa tuzo ya mchezaji bora Bundesliga 2025/26

Nyota wa FC Bayern Munich na timu ya taifa ya France, Michael Olise, ametangazwa rasmi kuwa Mchezaji Bora wa Bundesliga msimu wa 2025/26 akiwa na umri wa miaka 24.

Olise alikuwa mmoja wa wachezaji muhimu zaidi katika safari ya Bayern Munich kutwaa ubingwa wa Bundesliga msimu huu. Winga huyo wa kushoto alimaliza ligi akiwa na mabao 15 na assists 19 ndani ya mechi 32 takwimu zilizomfanya..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →