Droo ya kupanga makundi ya michuano ya kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 inatarajiwa kufanyika Jumanne, Mei 19, 2026, katika hafla inayosubiriwa kwa hamu kubwa na mataifa mbalimbali barani Afrika.
Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), droo hiyo itaamua mfumo wa makundi yatakayoanza safari ya timu 48 kuelekea fainali za AFCON 2027..... download Xtra 90 App



