Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, TRA, Singida BS, JKT

Ratiba ya mechi za raundi ya 24 Ligi Kuu NBC

Joel JJ By Joel JJ
β€’
19 May 2026
Ratiba ya mechi za raundi ya 24 Ligi Kuu NBC

Ligi Kuu ya NBC inazidi kuchanja mbuga ikiingia mzunguuko wa 24 ambapo mechi nane zinatarajiwa kupigwa katika viwanja tofauti.

Katika hatua hii vita kubwa iko juu ya msimamo klabu za Yanga, Simba na Azam Fc zikichuana kwenye mbio za ubingwa.

Lakini pia chini ya msimamo kuna vita ya aina yake, KMC, Tanzania Prisons, Mbeya City, Fountain Gate, Coastal Union na nyingine zikichuana kuepuka shimo la kushuka daraja.

Dalili sio nzuri kwa KMC ambao ni kama wameshakata tiketi ya kucheza Championship msimu ujao huku Tanzania Prisons nao wakionyesha dalila ya kuungana nao.

Vita kubwa bado ipo kwenye eneo la kucheza play-off ya kushuka/kusalia ligi kuu

Hii hapa ratiba ya mechi zote za raundi ya 24

More Stories

Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
3h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
7h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
8h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
10h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
10h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
14h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
16h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
17h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’