Klabu ya Southampton FC imejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kupewa adhabu kali na English Football League (EFL) kufuatia tuhuma za upelelezi dhidi ya wapinzani wao wa Championship play-offs.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya EFL, Southampton imeondolewa kwenye fainali ya Championship play-offs na pia imepewa adhabu ya kupokwa pointi nne zitakazotumika msimu wa 2026/27.





