Local,Normal News,TRA, Mtibwa, Pamba, Mashujaa, KMC, Dodoma

Ligi Kuu, mechi za leo Jumatano May 20

Joel JJ By Joel JJ
β€’
20 May 2026
Ligi Kuu, mechi za leo Jumatano May 20

Ligi Kuu ya NBC imeingia mzunguuko wa 24 ambapo leo mechi tatu zinatarajiwa kupigwa katika viwanja mbalimbali.

Baada ya kutupwa nje ya michuano kombe la CRDB kwa kipigo cha aibu cha mabao 4-0 dhidi ya Simba, watoza ushuru wa TRA United leo wako dimba la Sheikh Amri Abeid kuikaribisha Mtibwa Sugar katika mchezo utakaopigwa saa 10 jioni.

KMC ambayo inahitaji muujiza kunusurika kushuka daraja, watakuwa dimba la KMC Complex kuikabili Pamba Jiji mchezo utakaopigwa saa 12 jioni.

Baada ya uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma kutoka kifungoni, wenyeji Dodoma Jiji watawakaribisha maafande wa Mashujaa Fc katika mchezo utakopigwa saa 3 usiku.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
2h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
6h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
10h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
12h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
12h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
12h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
14h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
18h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’