Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo mechi za mzunguuko wa 24 zikiendelea kupigwa katika viwanja mbalimbali.
Dimba la Isamuhyo wenyeji JKT Tanzania watawakariisha Fountain Gate mchezo utakaopigwa saa 10 jioni.
JKT Tanzania iko kwenye mapambano ya kuwania tiketi ya kushiriki mashindano ya CAF msimu ujao hivyo ni mchezo ambao wanahitaji kushinda.





