Local,Normal News, Ligi Kuu, JKT, Fountain, Coastal, Simba, Namungo, Mbeya

Mechi za ligi kuu leo Alhamisi, May 21 2026

Joel JJ By Joel JJ
β€’
21 May 2026
Mechi za ligi kuu leo Alhamisi, May 21 2026

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo mechi za mzunguuko wa 24 zikiendelea kupigwa katika viwanja mbalimbali.

Dimba la Isamuhyo wenyeji JKT Tanzania watawakariisha Fountain Gate mchezo utakaopigwa saa 10 jioni.

JKT Tanzania iko kwenye mapambano ya kuwania tiketi ya kushiriki mashindano ya CAF msimu ujao hivyo ni mchezo ambao wanahitaji kushinda.

Mchezo unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka nchini ni kati ya Coastal Union dhidi ya Simba ambao utapigwa uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga.

Ni mchezo ambao kama Simba itaibuka na ushindi, itapanda kileleni mwa msimamo wa ligi angalau kwa saa 24 kabla ya watani zao Yanga kushuka dimbani kukabiliana na Sngida BS hapo kesho.

Hata hivyo Coastal Union nao hawako kwenye eneo salama katika msimamo wa ligi hivyo ni mchezo ambao ushindi au hata matokeo ya sare yatakuwa na maana kubwa kwao.

Namungo Fc na Mbeya City watahitimisha mchezo wa mwisho leo utakaopigwa saa 3 usiku uwanja wa Majaliwa.

More Stories

Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
5h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
10h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
10h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
12h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
13h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
16h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
18h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
19h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’