Mechi za ligi kuu leo Alhamisi, May 21 2026

Joel JJ By Joel JJ • 21st May 2026


Mechi za ligi kuu leo Alhamisi, May 21 2026

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo mechi za mzunguuko wa 24 zikiendelea kupigwa katika viwanja mbalimbali.

Dimba la Isamuhyo wenyeji JKT Tanzania watawakariisha Fountain Gate mchezo utakaopigwa saa 10 jioni.

JKT Tanzania iko kwenye mapambano ya kuwania tiketi ya kushiriki mashindano ya CAF msimu ujao hivyo ni mchezo ambao wanahitaji kushinda.

Mchezo unaosubiriwa kwa hamu na..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →