Local,Normal News,Tanzania, Yanga, Simba, Azam, JKT, Singida BS, TRA

Stars kujipima na Uganda, Rwanda FIFA break

Joel JJ By Joel JJ
β€’
21 May 2026
Stars kujipima na Uganda, Rwanda FIFA break

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kinatarajia kusafiri kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya kambi maalum na kucheza mechi za kirafiki za kimataifa wakati wa kalenda ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA BREAK) mwezi ujao wa Juni.

Hatua hiyo ni sehemu ya mikakati na maandalizi ya mapema ya timu hiyo kuelekea michuano mikubwa ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ya mwaka 2027.

Ratiba ya Mechi za Kirafiki:

Taifa Stars itashuka dimbani nchini Morocco kukabiliana na majirani zao wa ukanda wa Afrika Mashariki katika tarehe zifuatazo:

  • Juni 5: Tanzania vs Uganda

  • Juni 9: Tanzania vs Rwanda

Mabadiliko Ndani ya Kikosi:

Katika kuelekea kambi hiyo na mechi hizo muhimu, mabadiliko yanatarajiwa kuonekana ambapo majina mapya ya wachezaji yanatarajiwa kuongezwa kwenye kikosi.

Lengo la kocha Miguel Gamondi ni kuingiza nguvu mpya ni kusuka kikosi imara na chenye ushindani kitakachoweza kupeperusha vyema bendera ya taifa katika michuano ijayo ya AFCON 2027.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
5h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
9h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
11h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
13h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
15h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
15h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
16h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
18h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
21h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’