Stars kujipima na Uganda, Rwanda FIFA break

Joel JJ By Joel JJ β€’ 21st May 2026


Stars kujipima na Uganda, Rwanda FIFA break

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kinatarajia kusafiri kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya kambi maalum na kucheza mechi za kirafiki za kimataifa wakati wa kalenda ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA BREAK) mwezi ujao wa Juni.

Hatua hiyo ni sehemu ya mikakati na maandalizi ya mapema ya timu hiyo kuelekea michuano mikubwa ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ya mwaka 2027.

Ratiba ya Mechi za Kirafiki:

Taifa Stars itashuka dimbani nchini Morocco kukabiliana na majirani zao wa ukanda wa Afrika Mashariki katika tarehe zifuatazo:

  • Juni 5: Tanzania vs Uganda

  • Juni 9: Tanzania vs Rwanda

Mabadiliko Ndani ya Kikosi:

Katika kuelekea kambi hiyo na mechi hizo muhimu, mabadiliko yanatarajiwa kuonekana ambapo majina mapya ya wachezaji yanatarajiwa kuongezwa kwenye kikosi.

Lengo la kocha Miguel Gamondi ni kuingiza nguvu mpya ni kusuka kikosi imara na chenye ushindani kitakachoweza kupeperusha vyema bendera ya taifa katika michuano ijayo ya AFCON 2027.


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’