Chama mbioni kuongeza mkataba mpya Simba

Joel JJ By Joel JJ • 21st May 2026


Chama mbioni kuongeza mkataba mpya Simba

Kiungo mshambuliaji Clatous Chama anatarajiwa kuendelea kuitumikia Simba SC baada ya kuingia kwenye hatua za mwisho za mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya ndani ya kikosi hicho cha Wekundu wa Msimbazi, imefahamika.

Chama, ambaye alirejea Simba akitokea Singida Big Stars SC, alisaini awali mkataba wa mwaka mmoja, lakini sasa taarifa zinaeleza kuwa mazungumzo ya kuongeza kandarasi ya ziada..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →