Kombe la Dunia 2026 : Mane kuongoza kikosi cha Senegal

Joel JJ By Joel JJ • 21st May 2026


Kombe la Dunia 2026 : Mane kuongoza kikosi cha Senegal

Shirikisho la Soka la Senegal limetangaza rasmi kikosi cha wachezaji 26 kitakachoshiriki Kombe la Dunia 2026, kikiongozwa na nahodha na nyota wake wa ushambuliaji Sadio Mané.

Kikosi hicho kimetangazwa na kocha mkuu Pape Thiaw, kikiwa na mchanganyiko wa wachezaji wenye uzoefu mkubwa pamoja na vipaji chipukizi vinavyocheza katika ligi mbalimbali barani Ulaya na Asia.

Kwa mujibu wa..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →