International,Normal News,England, FIFA, World Cup 2026, Local

England watangaza kikosi cha Kombe la Dunia 2026, Maguire aachwa nje

Joel JJ By Joel JJ
β€’
22 May 2026
England watangaza kikosi cha Kombe la Dunia 2026, Maguire aachwa nje

Kocha wa England, Thomas Tuchel, ametangaza rasmi kikosi cha wachezaji 26 kitakachoiwakilisha England kwenye Kombe la Dunia 2026 litakalofanyika Marekani, Canada na Mexico.

Habari kubwa kwenye kikosi hicho ni kuachwa nje kwa beki Harry Maguire, ambaye alikuwa sehemu muhimu ya England katika mashindano makubwa ya nyuma. Maguire amesema amesikitishwa sana na uamuzi huo wa kuachwa nje ya kikosi.

Mbali na Maguire, nyota wengine walioachwa nje ni Phil Foden na Cole Palmer, huku mshambuliaji Ivan Toney akirejea kwenye kikosi baada ya kufanya vizuri katika ligi ya Saudi Arabia.

Kikosi kamili cha England – Kombe la Dunia 2026

Makipa

  • Jordan Pickford
  • Dean Henderson
  • James Trafford

Mabeki

  • Reece James
  • Tino Livramento
  • Nico O'Reilly
  • John Stones
  • Marc GuΓ©hi
  • Ezri Konsa
  • Dan Burn
  • Jarell Quansah

Viungo

  • Declan Rice
  • Jude Bellingham
  • Jordan Henderson
  • Kobbie Mainoo
  • Elliot Anderson
  • James Garner
  • Eberechi Eze
  • Morgan Rogers

Washambuliaji

  • Harry Kane
  • Ivan Toney
  • Ollie Watkins
  • Bukayo Saka
  • Marcus Rashford
  • Anthony Gordon
  • Noni Madueke

Kundi la England Kombe la Dunia 2026

England imepangwa Kundi L pamoja na:

  • Croatia
  • Ghana
  • Panama

England itaanza kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 kwa kucheza dhidi ya Croatia tarehe 17 Juni 2026 katika mechi ya ufunguzi ya kundi hilo.

More Stories

Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
4h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
8h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
9h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
11h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
11h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
15h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
17h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
17h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’