Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi mbili za kuhitimisha raundi ya 24 zitapigwa jijini Dar es salaam.
Mabingwa watetezi wa ligi hiyo Yanga watakuwa dimba la KMC Complex kuikabili Singida BS katika mchezo utakaopigwa saa 10 jioni.
Baada ya watani zao Simba kuwaondoa kileleni mwa msimamo wa ligi jana baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi yq Coastal Union, ni wazi Yanga leo..... download Xtra 90 App



