Local,Normal News,Azam Fc, Prisons

Fei Toto, Nado waiadhibu Prisons Azam Complex

Joel JJ By Joel JJ
β€’
22 May 2026
Fei Toto, Nado waiadhibu Prisons Azam Complex

Azam Fc imeendeleza ubabe dimba la Azam Complex ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa ligi kuu ya NBC kukamilisha raundi ya 24.

Alikuwa ni Feisal Salum 'Fei Toto' na Iddi Nado waliofunga mabao ya Azam Fc na kuhakikisha alama tatu zinasalia Msimbazi.

Fei Toto ameendelea kujiimarisha kwenye mbio za ufungaji bora akifikisha mabao 12 huku Nado nae akifikisha mabao 8.

Sio matokeo mazuri kwa upande wa Tanzania Prisons kwani wanaendelea kusalia nafasi ya 15 wakiwa kwenye eneo la kuteremka daraja.

Azam Fc imefikisha alama 49 ikiendelea kusalia kwenye mbio za ubingwa kimahesabu kwani wamechwa alama nane na vinara wa ligi, Yanga

More Stories

Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
2h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
3h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
5h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
5h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
9h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
11h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
11h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’
Kocha Dimitar Pantev ateuliwa kuwa kocha mpya wa Richard Bay.
Kocha Dimitar Pantev ateuliwa kuwa kocha mpya wa Richard Bay.
1d ago
READ MORE β†’