Serie A imetangaza rasmi washindi wa tuzo mbalimbali za msimu wa 2025/26, huku Inter Milan wakihitimisha msimu wao wa mafanikio kwa kutwaa ubingwa wa Italia na kutawala katika tuzo nyingi binafsi. Ilikuwa ni usiku wa sherehe kubwa kwa upande wa bluu na nyeusi wa Milan baada ya msimu ambao walionyesha uthabiti mkubwa kutoka mwanzo hadi mwisho.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Msimu imekwenda kwa..... download Xtra 90 App



