Kocha Msaidizi wa Simba SC, Suleiman Matola, amesema mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Dodoma Jiji FC utakaopigwa kesho Jumapili katika uwanja wa KMC Complex hautakuwa mwepesi, akisisitiza kuwa wapinzani wao ni timu yenye ubora na ushindani mkubwa.
..... download Xtra 90 App



