Vinara wa mabao ligi kuu 2025/26 baada ya mechi 24

Joel JJ By Joel JJ β€’ 23rd May 2026


Vinara wa mabao ligi kuu 2025/26 baada ya mechi 24

Kiungo mshambuliaji wa Azam Fc Feisal Salum 'Fei Toto' bado anaongoza mbio za kuwania kiatu cha dhahabu msimu huu akifikisha mabao 12.

Fei Toto alifunga bao lake la 12 jana kwenye mchezo dhidi ya Tanzania Prisons ambao Azam Fc waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.

Kiungo mshambuliaji wa Yanga Allan Okello nae akafunga mabao mawili jana akifikisha mabao 9 sawa na mchezaji mwenzake wa Yanga Prince Dube ambaye pia ana mabao 9.

Hii hapa orodha ya nyota 10 vinara;


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’