Bruno Fernandes ametangazwa rasmi kuwa Mchezaji Bora wa Premier League kwa msimu wa 2025/26 baada ya msimu wa kiwango cha juu uliomfanya kuwa moyo wa Manchester United. Nahodha huyo wa United amepewa tuzo ya EA Sports FC Player of the Season kufuatia mchango mkubwa alioutoa katika kampeni iliyowarudisha United kwenye UEFA Champions League.
Bruno anakamilisha msimu akiwa mpaka sasa..... download Xtra 90 App



