Orlando Pirates wameandika historia mpya katika soka la Afrika Kusini baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya nchi hiyo (South African Premiership) kwa kumaliza ukame wa miaka 14, kufuatia ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Orbit College katika uwanja wa Mbombela.
Ushindi huo umehitimisha pia utawala wa Mamelodi Sundowns wa misimu minane mfululizo kama mabingwa wa ligi hiyo, baada ya Pirates..... download Xtra 90 App



