Mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara zimeendelea kushika kasi leo Jumapili, Mei 24, 2026 huku michezo kadhaa ikipigwa katika viwanja tofauti nchini na kuleta mabadiliko muhimu kwenye msimamo wa ligi.
Ushindi mwembamba wa Simba SC dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam, umerejesha Wekundu wa Msimbazi kileleni mwa msimamo wa ligi...... download Xtra 90 App



