Ligi Kuu NBC, May 25 mechi mbili kupigwa leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 25th May 2026


Ligi Kuu NBC, May 25 mechi mbili kupigwa leo

Mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea leo zikiwa ni mechi za kukamilisha mzunguuko wa 25.

Mabingwa watetezi wa ligi hiyo Yanga watakuwa uwanja wa KMC Complex kuikabili Namungo Fc katika mechi inayotarajiwa kuwa na upinzani mkali.

Yanga inahitaji ushindi ili kurejea juu ya msimamo wakati Namungo Fc wanapambana kujiweka salama kuepuka hatari ya kushuka daraja wakicheza takribani mechi 13 bila kupata ushindi kwenye ligi.

Mchezo huo unatarajiwa kupigwa kuanzia saa 12:30 jioni na kisha siku kuhitimishwa na mchezo kati ya Azam Fc dhidi ya KMC.

KMC wako dhoofu na pengine kama watapoteza dhidi ya Azam Fc leo watajihakikishia kucheza Championship msimu ujao.


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’