Local,Normal News,Ligi Kuu, Yanga, Namungo, Azam, KMC

Ligi Kuu NBC, May 25 mechi mbili kupigwa leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
25 May 2026
Ligi Kuu NBC, May 25 mechi mbili kupigwa leo

Mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea leo zikiwa ni mechi za kukamilisha mzunguuko wa 25.

Mabingwa watetezi wa ligi hiyo Yanga watakuwa uwanja wa KMC Complex kuikabili Namungo Fc katika mechi inayotarajiwa kuwa na upinzani mkali.

Yanga inahitaji ushindi ili kurejea juu ya msimamo wakati Namungo Fc wanapambana kujiweka salama kuepuka hatari ya kushuka daraja wakicheza takribani mechi 13 bila kupata ushindi kwenye ligi.

Mchezo huo unatarajiwa kupigwa kuanzia saa 12:30 jioni na kisha siku kuhitimishwa na mchezo kati ya Azam Fc dhidi ya KMC.

KMC wako dhoofu na pengine kama watapoteza dhidi ya Azam Fc leo watajihakikishia kucheza Championship msimu ujao.

More Stories

Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
3h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
4h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
9h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
9h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
9h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
11h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
15h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
22h ago
READ MORE β†’
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
1d ago
READ MORE β†’