Klabu ya Como, inayoongozwa na kocha wake Cesc Fàbregas, imeweka historia kubwa katika soka la Italia baada ya kufuzu kwa mara ya kwanza kabisa kwenye UEFA Champions League, kufuatia ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Cremonese katika mchezo wa mwisho wa Serie A.
Ushindi huo umeifanya Como kumaliza katika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi, na hivyo kujihakikishia tiketi ya kushiriki Ligi..... download Xtra 90 App



