Local,Normal News,Azam Fc, KMC, Ligi Kuu

Fei Toto ameshindikana, apewe tuzo yake mapema

Joel JJ By Joel JJ
β€’
26 May 2026
Fei Toto ameshindikana, apewe tuzo yake mapema

Jana Azam FC iliendeleza ubabe uwanja wa Azam Complex wakiwachapa vibnde KMC mabao 3-0 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC.

Mabao ya Azam Fc katika mchezo huo yalifungwa na Feisal Saum 'Fei Toto' aliyefunga mabao mawili huku bao la tatu likifungwa na Yoro Diaby.

Fei Toto ameendelea kuwa mtambo wa kuzalisha mabao katika kikosi cha Azam Fc msimu huu akiwa tayari amehusika katika mabao 22.

Amefunga mabao 14 na kutoa pasi nane za usaidizi wa mabao. Mchezaji anayemfuatia ni Allan Okello wa Yanga ambaye amefunga mabao 11 na pasi 7 za usaidizi wa mabao akiwa amehusika kwenye mabao 17.

Ni wazi kama ligi inamalizika leo, Fei Toto anastahili tuzo ya mchezaji bora wa msimu 'MVP' na ufungaji bora pia.

Ni msimu wa tatu mfululizo Fei Toto ameendelea kuwa mtambo wa kuzalisha mabao Azam FC.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
5h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
9h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
11h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
13h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
15h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
15h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
16h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
18h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
21h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’