Ligi Kuu kuendelea leo, mechi mbili za kuhitimisha mzunguuko wa 25

Joel JJ By Joel JJ β€’ 26th May 2026


Ligi Kuu kuendelea leo, mechi mbili za kuhitimisha mzunguuko wa 25

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi mbili za kuhitimisha mzunguuko wa 25 zinatarajiwa kupigwa.

Mapema saa 8 Pamba Jiji itashuka dimba la CCM Kirumba kuikabili tanzania Prisons katika mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali.

Prisons wako eneo la kushuka daraja, pengine wanahitaji kuanza kukusanya pointi kabla ya kupoteza matumaini.

Singida BS na Mbeya City zitachuana katika mchezo mwingine utakaopigwa saa 10 jioni.

Singida BS wanahitaji ushindi ili kujiimarisha kwenye nafasi ya nne wakati Mbeya City watahitaji ushindi ili kusogea juu kutoka eneo la kucheza play-off.


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’