Local,Normal News,Ligi Kuu, Singida, Pamba, Prisons, Mbeya

Ligi Kuu kuendelea leo, mechi mbili za kuhitimisha mzunguuko wa 25

Joel JJ By Joel JJ
β€’
26 May 2026
Ligi Kuu kuendelea leo, mechi mbili za kuhitimisha mzunguuko wa 25

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi mbili za kuhitimisha mzunguuko wa 25 zinatarajiwa kupigwa.

Mapema saa 8 Pamba Jiji itashuka dimba la CCM Kirumba kuikabili tanzania Prisons katika mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali.

Prisons wako eneo la kushuka daraja, pengine wanahitaji kuanza kukusanya pointi kabla ya kupoteza matumaini.

Singida BS na Mbeya City zitachuana katika mchezo mwingine utakaopigwa saa 10 jioni.

Singida BS wanahitaji ushindi ili kujiimarisha kwenye nafasi ya nne wakati Mbeya City watahitaji ushindi ili kusogea juu kutoka eneo la kucheza play-off.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’