Baada ya msimu mgumu uliowaweka karibu na eneo la kushuka daraja, Tottenham Hotspur wameanza harakati za kurejesha makali yao kwa kuangalia soko la usajili mapema, wakilenga kuimarisha safu ya ushambuliaji kuelekea msimu ujao.
Kwa mujibu wa mwanahabari wa usajili wa soka, Fabrizio Romano, Spurs wamefufua tena nia yao ya kumsajili winga wa Brazil, Savinho, ambaye kwa sasa anaitumikia..... download Xtra 90 App



