Local,Normal News,Taifa Stars, Yanga, Simba, Azam

Gamondi aongeza wawili Stars kutoka Serengeti Boys

Joel JJ By Joel JJ
29 May 2026
Gamondi aongeza wawili Stars kutoka Serengeti Boys

Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Miguel Gamondi, amewaongeza wachezaji wawili chipukizi kutoka timu ya taifa ya vijana ya chini ya miaka 17, maarufu kama Serengeti Boys, kwenye kikosi cha wakubwa cha Tanzania national football team.

Wachezaji waliopandishwa ni:

  • Luqman Mbalasu – Kiungo

  • Kassimu Juma – Mlinzi wa kushoto

Nyota hao wawili wanatarajiwa kujiunga na kikosi cha Taifa Stars mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali ya AFCON U17 Final kati ya Serengeti Boys na Senegal  utakaochezwa Juni 02, 2026.

Hatua hiyo ya Gamondi ni sehemu ya mpango wa muda mrefu wa kuijenga upya Taifa Stars kwa kuwapa nafasi vijana wenye vipaji kuungana na wachezaji wenye uzoefu. 

Taifa Stars kwa sasa ipo kwenye maandalizi ya michezo miwili muhimu ya kimataifa dhidi ya Uganda Juni 05, na kisha dhidi ya Rwanda Juni 09, mechi zote zikitarajiwa kuchezwa mjini Marrakech, Morocco.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
5h ago
READ MORE →
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
8h ago
READ MORE →
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
10h ago
READ MORE →
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
12h ago
READ MORE →
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
14h ago
READ MORE →
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
15h ago
READ MORE →
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
15h ago
READ MORE →
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
17h ago
READ MORE →
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
20h ago
READ MORE →
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE →