Paris Saint-Germain wameendelea kuandika historia mpya katika soka la Ulaya baada ya kutwaa taji la UEFA Champions League 2025/26 kufuatia ushindi wa penalti 4-3 dhidi ya Arsenal katika fainali ya kusisimua iliyochezwa kwenye Uwanja wa Puskás Aréna jijini Budapest. Baada ya sare ya mabao 1-1 ndani ya dakika 90 za kawaida na kutopatikana kwa bao lolote katika muda wa nyongeza, PSG walionyesha..... download Xtra 90 App



