Simba na Yanga kurejea mazoezini Jumatatu Juni 1

Joel JJ By Joel JJ • 31st May 2026


Simba na Yanga kurejea mazoezini Jumatatu Juni 1

Vikosi vya vigogo wa soka Tanzania, Yanga SC na Simba SC, vinatarajiwa kurejea mazoezini Jumatatu Juni 1 baada ya mapumziko mafupi yaliotolewa kwa wachezaji kuelekea mwendelezo wa mechi za mwisho wa msimu wa Ligi Kuu na Kombe la CRDB.

Uongozi wa klabu ya Yanga SC uliwapa wachezaji mapumziko ya siku sita kufuatia ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Namungo FC, matokeo yaliyowapa morali kubwa..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →