Klabu ya Simba SC imeanza mapema kupanga maboresho ya kikosi chake kuelekea msimu ujao, huku ikiripotiwa kumweka kwenye rada kiungo mshambuliaji mahiri wa Uganda, Abdulkarim Watambala, ambaye amefanya vizuri zaidi katika msimu wa 2025–2026.
Simba SC kwa sasa ipo katika mapambano makali ya ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, ikiwa nyuma ya wapinzani wao wa jadi Young Africans SC kwa..... download Xtra 90 App



