Kiungo wa Atlanta Ederson amekamilisha uhamisho wake wa kujiunga na Manchester United katika dili linalofikia thamani ya takriban €45 milioni pamoja na nyongeza (add-ons).
Makubaliano kati ya klabu hizo mbili yamekamilika baada ya mazungumzo yaliyodumu kwa wiki kadhaa, huku dili likifungwa rasmi na sasa kinachosubiriwa ni hatua za mwisho za kimatibabu (medical tests) na taratibu za..... download Xtra 90 App



