Wakati mashabiki wa Yanga SC wakiendelea kusubiri hitimisho la msimu huu, uongozi wa klabu hiyo tayari umeanza maandalizi ya awali ya kusuka upya kikosi kitakachoshiriki msimu ujao wa mashindano ya ndani na kimataifa.
Taarifa kutoka ndani ya klabu hiyo zinaeleza kuwa mabingwa hao wa Tanzania Bara wameanza michakato ya awali ya usajili, wakilenga kufanya maboresho makubwa zaidi ili..... download Xtra 90 App



