Kiungo wa kati wa Mali, Aliou Dieng, amekamilisha rasmi uhamisho wake wa kujiunga na klabu ya Hispania, Valencia CF akitokea klabu ya Misri Al Ahly SC
Dieng anatarajiwa kujiunga na kambi ya maandalizi ya msimu mpya ya Valencia kuanzia Julai 6, ambapo ataanza rasmi mazoezi na wachezaji wenzake kuelekea msimu wa 2026/27.
Dieng ataanza mapema kuzoea mfumo wa timu mpya chini ya benchi..... download Xtra 90 App



