Norway na Morocco zilitoka sare ya 1-1 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa kama sehemu ya maandalizi ya Kombe la Dunia 2026, mchezo uliokuwa na kasi na ushindani mkubwa kati ya timu mbili zinazotarajiwa kufanya vizuri kwenye mashindano hayo makubwa ya FIFA.
Morocco ilianza kwa nguvu na kupata bao la mapema dakika ya 8 kupitia nyota wake Brahim DΓaz, ambaye alimalizia vizuri..... download Xtra 90 App



