International,Normal News,World Cup 2026, Yanga, Simba, Local

Refa wa Kariakoo Derby aingia kwenye historia kombe la Dunia

Joel JJ By Joel JJ
β€’
9 Jun 2026
Refa wa Kariakoo Derby aingia kwenye historia kombe la Dunia

Aliyechezesha dabi ya Kariakoo Juni 25 2025 kati ya Yanga dhidi ya Simba msimu uliopita, mwamuzi wa kimataifa kutoka Misri, Amin Omar, ameingia kwenye historia ya waamuzi barani Afrika baada ya kuteuliwa kuchezesha miongoni mwa mechi za Kombe la Dunia 2026.

Omar atakuwa mwamuzi wa kati kwenye mechi kati ya Korea Kusini dhid ya Jamhuri ya Czech itakayochezwa Ijumaa, Juni 12.

Uteuzi huo unamfanya kuwa mmoja wa waamuzi wa Afrika waliopata nafasi kubwa zaidi kwenye michuano hiyo inayofanyika nchi za Mexico, Canada na Marekani.

Amin Omar huenda akawa miongoni mwa waamuzi watakaohusika katika mechi muhimu zaidi za Kombe la Dunia 2026.

Katika mechi hiyo, Amin Omar hatakuwa peke yake kutoka Misri. Mwamuzi mwenzake, Mahmoud Ashour, naye atakuwa sehemu ya kikosi cha waamuzi, akisimamia mfumo wa usaidizi wa video (VAR).

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
3h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
6h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
10h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
12h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
13h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
13h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
15h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
18h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’