Atlético Madrid imeendelea kusimama kidete kuhusu mustakabali wa mshambuliaji wake nyota Julián Álvarez, huku klabu hiyo ikiripotiwa kuweka masharti magumu kwa FC Barcelona inayotaka kumsajili mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina.
Kwa mujibu wa taarifa, Atlético Madrid imesisitiza kuwa haitamwachia Álvarez kirahisi, huku ikimtaja kama mchezaji muhimu katika mipango ya muda mrefu..... download Xtra 90 App



