Klabu ya Azam FC imeondoka mapema leo kuelekea mkoani Arusha, ikiwa tayari kwa mchezo wake wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Fountain Gate FC utakaopigwa baada ya mapumziko ya kimataifa ya FIFA.
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa tarehe 12 Juni 2026 katika Uwanja wa Shikh Amri Abeid Kaluta, kuanzia saa 10:00 jioni, huku ukitarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na umuhimu wake kwa msimamo wa..... download Xtra 90 App



