Mshambuliaji raia wa Kenya, Elvis Rupia, anaripotiwa kuwa katika hatua za mwisho za mazungumzo ya kurejea katika klabu yake ya zamani ya Kenya Police FC, ikiwa ni katika harakati za klabu hiyo kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu unaoendelea.
Taarifa kutoka Kenya zinaeleza kuwa mabingwa hao wa zamani wa ligi kuu nchini humo wamemweka Rupia kama moja ya vipaumbele vyao katika dirisha la..... download Xtra 90 App



