Kombe la Dunia 2026 limeanza kwa shamrashamra kubwa huku mataifa mbalimbali yakianza safari ya kusaka ubingwa wa dunia. Mechi mbili zimeshuhudiwa usiku wa Ijumaa na Alfajiri ya Jumamosi katika makundi B na D.
Timu mwenyeji Canada ilianza kampeni yake kwa sare ya mabao 1-1 dhidi ya Bosnia na Herzegovina katika mechi iliyopigwa Toronto.
Bosnia walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia..... download Xtra 90 App



