Local,Normal News,KMC, TRA

KMC Goodbye Ligi Kuu

Joel JJ By Joel JJ
β€’
13 Jun 2026
KMC Goodbye Ligi Kuu

Kipigo cha bao 1-0 walichokumbana nacho KMC jana kimehitimisha ushiriki wao wa ligi kuu msimu ujao 2026/27.

KMC sasa wanayo tiketi ya kushiriki ligi ya championship msimu ujao huku wakiwa na mechi nne mkononi.

Wamecheza mechi 26 wakikusanya alama 9 tu huku zikisalia mechi nne. Hata kama watashinda mechi hizo watafikisha alama 21 ambazo tayari Mbeya City inayoshika nafasi ya 14 imevuka ikiwa na alama 22.

Tanzania Prisons wako nafasi ya 15 wakiwa na alama 20, wao bado wako kwenye mapambano ya kuepuka kuungana na KMC kucheza Championship msimu ujao.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’