Mabingwa watetezi ligi kuu ya NBC Yanga leo wako mkoani Kigoma kumenyana na Mashujaa Fc katika mwendelezo wa ligi kuu ya NBC raundi ya 26.
Ni mechi za lala salama, kila timu ikihitaji alama tatu muhimu ili kutimiza malengo yake ya msimu huu.
Kwa Yanga ni mchezo ambao wanahitaji ushindi ili kuendelea kujiweka katika mazngira mazuri ya kutetea taji la ligi kuu kwa msimu wa tano..... download Xtra 90 App



