Local,Normal News,Ligi Kuu, Yanga, Mashujaa, JKT, Singida, Mtibwa, Mbeya

Yanga mikononi mwa Mashujaa Fc Kigoma, mechi tatu kupigwa leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
13 Jun 2026
Yanga mikononi mwa Mashujaa Fc Kigoma, mechi tatu kupigwa leo

Mabingwa watetezi ligi kuu ya NBC Yanga leo wako mkoani Kigoma kumenyana na Mashujaa Fc katika mwendelezo wa ligi kuu ya NBC raundi ya 26.

Ni mechi za lala salama, kila timu ikihitaji alama tatu muhimu ili kutimiza malengo yake ya msimu huu.

Kwa Yanga ni mchezo ambao wanahitaji ushindi ili kuendelea kujiweka katika mazngira mazuri ya kutetea taji la ligi kuu kwa msimu wa tano mfululizo.

Wananchi wanafahamu matokeo tofauti na ushindi yatawaweka katika presha kubwa hasa wakizingatia watani zao Simba wako karibu yao na wao watashuka dimba la KMC hapo kesho kuikabili Pamba Jiji.

Mchezo wa mapema saa 8 Mbeya City watakuwa wenyeji wa Mtibwa Sugar uwanja wa Sokoine katika mchezo ambao Mbeya City inahitaji ushindi ili kuweka hai matumaini yao ya kusalia ligi kuu.

JKT Tanzania na Singida BS zitachuana katika mchezo mwingine wa vita ya kuwana nafasi ya nne.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
49m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’