Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, ameanza kwa kishindo kampeni ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kufunga hat-trick yake ya kwanza katika historia ya michuano hiyo na kuiongoza Argentina kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Algeria katika mchezo wa Kundi J.
Messi mwenye umri wa miaka 39 alionyesha kuwa bado ni mmoja wa wachezaji hatari zaidi duniani kwa kufunga mabao yote matatu katika..... download Xtra 90 App



