Ligi Kuu ya NBC inaelekea ukiongoni leo mechi mbili mzunguuko wa 27 zikitarajiwa kupigwa.
Wekundu wa Msimbazi, Simba Sc wako mkoani Mbeya ambapo leo watakuwa uwanjani mechi ya mapema saa 8.
Watakuwa wageni wa Mbeya City katika mechi inayotarajiwa kuwa na upinzani mkali.
Kama Simba itashinda mchezo huo basi itapanda kileleni mwa msimamo wa ligi kuwaombea 'njaa' watani zao Yanga..... download Xtra 90 App



